Audio Mp3

audio song

Saturday, April 1, 2017

Weusi - Madaraka ya kulevya lyrics

 


 

 

 

 

Weusi - Madaraka ya kulevya



Madaraaaa Madaraka x2



Umenipa madaraka ya kulevya

Ooh baby

Nayumba nateleza



Umenipa madaraka ya kulevya

Oo darling

Naimba napoteza x2



Mjini nimedondoka kama chopa, chopa star…

Wananiita zee la makopa

Zee la kulia mtoto hawezi toka

Watoto wanang’oka

Zangu mimi ni kung’arisha moka

Napenda malight camera action

Na malikes nyomi attention

Nyumbani situlii na mummy

Zangu ni vijiwe na kina naniii

Napendaga makiki kama msanii

Nanii, tukipiga picha nipost

Napenda mafollowers

Napendaga makiki kama msaniii



Umenipa madaraka ya kulevya

Ooh baby

Nayumba nateleza



Umenipa madaraka ya kulevya  

Oo darling

Naimba napoteza x2



Kila nikiona kibinda mi nadinda

Kila nikiona kibinda mi nawinda

Kidinda kikidinda nakitia ndinda

Wananiita mzee wa vibunda

Na mbele zikivimba nazitoa mimba

Mke wangu kila siku namtoa mapovu

Nimeshaonywa sana na baba askofu

Sijui shetani gani ameniingia

Nimeshaombewa sana na kila parokia

Na bado kila demu mkali mi narukia

Nazama next door na majala

Nakata kwa watoto na katoto nyumbani haa kajala

Mastaa Bongo muvi wananiitaga danga

Napiga mablunder

Vitumbua vinanijua bingwa la kutia mchanga

Napiga mablunder

Naishi kama kwangu na nyumba ni ya kupanga

Vitu vinaenda nganganga



Umenipa madaraka ya kulevya

Ooh baby

Nayumba nateleza



Umenipa madaraka ya kulevya

Oo darling

Naimba napoteza x2



Dereva nagonga miti,

Aaacha, hiyo si sawa dereva una mkeo,

Mzee nina midananda kibao

Sijui kutongoza msaada ni wao

Mdanada ukizingua mambao

Zee la mipango

Zee la majigambo

Natembelea ndoa ndoano, nawavua

Kijani naitia nyekundu, natibua   

Na urithi baba alishaniahidi, nazitumbua

Ndugu wanalia nauchubua

Mke wangu yuko home nguo zangu anazifua

Mi niko guest flani zangu navua



Umenipa madaraka ya kulevya

Ooh baby

Nayumba nateleza



Umenipa madaraka ya kulevya

Oo darling

Naimba napoteza x2