Audio Mp3

audio song

Wednesday, May 7, 2014

Call for Application for University 2014/2015

Call for Application into Undergraduate
Degree and Non-Degree programmes
The University of Dodoma invites applications
from suitably qualified candidates for admission
into its various Undergraduate degree
programmes for the academic year 2014/2015
Under the DIRECT & EQUIVALENT Qualification
modes. Candidates interested to pursue
Undergraduate Studies at UDOM should apply
through the Central Admission System (CAS)
coordinated by the Tanzania Commission for
Universities (TCU) and select the programme (s)
of their choice. Application information is
accessible at www.tcu.go.tz
Programmes offered are found on the PDF
download link below for undergraduate and non
degree programmes.

Thursday, August 30, 2012

HEGAJO SQUAD NA MASAI 2012

HEGAJO SQUAD ni kundi la muziki wa kizazi kipya kilichoanzishwa rasmi mwaka 2003 Karatu Sec. limeundwa na majembe mawili Heriel Joseph na Gabriel Joseph na kufanikiwa kufanya kazi kadhaa. kati ya hizo ni Dancing floor iliyotamba miaka ya 2004 katika Radio station mbalimbali mkoani Arusha hasa Triple A ndani ya Bongo hood na D.J. Tass.
Hivi sasa kundi hili linatamba na kibao chao kipya kiitwacho Masai ikiwa na Video. Audio pamoja na Video zilifanyika Grandmaster Recs Ngarenaro Arusha Wimbo huu unaelezea changamoto wanazokutana nazo Wamasai hasa Ngorongoro.