Audio Mp3

audio song

Wednesday, June 21, 2017

MAELEZO KUTOKA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI.*

*MAELEZO KUTOKA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI.*

1. Malimbikizo ya salary, yatalipwa automatic baada ya areas kuwa approved na maafisa utumishi, kuanzia pale ulipopanda. Hakuna tena kudai area

2. Uhamisho, kuhamisha mshahara ni jukumu la mwajiri wa awali, kama umehama

3. Kuhama mkoa ni lazima jina litokee kwenye orodha ya watumishi wanaohama.

4. Kwa wastaafu wanaodai areas, wanatakiwa kujaza fomu na viambatanishi ili ulipwe.

5.Malimbikizo ya mshahara kuonekana kisha kufutika, haijapotea ila inahitaji kuidhinishwa upya.

6.Kama hujapata areas, na madai ni ya muda mrefu fuatilia kwa afisa utumishi ili ujaze form maalum.
7. Ukipanda cheo, kiri haraka.

8.Posho za safari za kikazi zinatokana na status ya mtumishi,  upandishaji wa vyeo vya watumishi hutegemea vikao vya DED, upandaji cheo inategemea fungu lililopangwa, mtumishi haruhusiwi kudai cheo. Hii ni kanuni. Promotion ni motisha kwa watumishi, si automatic. Mwajiri lzm apate taarifa za utendajikazi wa utumishi ndipo aandae promotion.

9.Madai kwa watumishi waliohama, yatashughulikiwa na mwajiri wa sasa baada ya kuwasiliana na mwajiri wa awali.

10. Upatikaji wa nyaraka, www.utumishi.go.tz na www.tamisemi.go.tz  utapata nyaraka na huduma kwa kutumia simu au computer.

11. Nauli za likizo, inategemea bajeti ya halmashauri, ilipwe kabla ya kusafiri, akijisafirisha atadai. Maombi ya nauli za likizo yatahakikiwa kwa kutumia nauli za SUMATRA. Marufuku kulipwa nusu nauli.

12. Kusoma nje ya nchi, kama upo kwenye mpango wa mwajiri utalipiwa na kulipwa mshahara, kama haupo mwenye mpango, utachukua  likizo bila malipo. Kibali kitatolewa na katibu mkuu kusafiri nje.

13. Rufaa ya matibabu, mwajiri alipe nauli na posho ya kujikimu. Ukijigharamia, mwajiri anatakiwa kukulipa.

14. Kutofautiana kwa mishahara kwa watumishi wenye sifa zinazofanana, kuna tume ya job evaluation inafanya utafiti hatua za mwisho, pia tatizo lilikuwa tsd kutoshirikiana na mkurugenzi.  Lkn tsd imekuwa tsc, tatizo litakwisha.

15. Disturbance allowance italipwa kwa 10% ya mshahara wake wa mwaka. Kwa watumishi waliohama destination, hata kama ni ndani ya km5.

16. Kumbuka kutunza nyaraka, kufuatilia mifuko ya jamii na michango ili kuhakiki uwasilishaji wa michango kabla ya kustaafu

17.Uteuzi wa wakuu wa idara huzingatia: utendaji kazi, uongozi, royality, elimu, nk.

18. Tange kwa kila kada ijazwe na kuwasilishwa kwa afisa utumishi.

19. Waliocheleweshwa kupanda daraja, wanatakiwa kwenda kwa afisa utumishi ili ajenge hoja ya kupanda kwa mseleleko na kuomba kibali kwa katibu mkuu.

20. Kama uliwekwa kwenye mpango wa mafunzo halafu ukajilipia, mwajiri anatakiwa akurudishie gharama alizotakiwa kukulipia.

21. Punguzo la kodi ya mshahara 9% linahusu wenye mishahara ya chini. Mfano katibu mkuu anakatwa 30% ya mshahara.

22.May 2016 promotion zilisitishwa pamoja na mishahara ilisitishwa kwa ajili ya watumishi hewa. Vyeo vyao vipo, ila marekebisho yao yamesitishwa. Watarejeshwa ktk vyeo vyao vipya muda si mrefu

23. Uhakiki bado serikali kuu.

24.Vyeo vya kielimu ktk nchi kimuundo ni mpaka 1st degree.  Masters, phd ni sifa za ziada tu.

25. Mishahara ya watumishi italingana na uzito wa kazi, miundo ya utumishi kurekebishwa ili watu wasifike bar/vidato vya mshahara.

26. Madeni yaliyokataliwa, yafuatiliwe ili kama ni tatizo la document, zitafutwe na kuprossess upya deni.

27. Walimu wa sayansi wanaofundisha na kufanya laboratory technicians wapewe allowances. Wataalam wa laboratory wanaandaliwa.

28. Kukaimu madaraka mwisho miezi 6, athibitishwe au asitishwe.

2 comments:

  1. Testimony on how i got my LOAN from fundingloanplc@yahoo.com

    I'm Isabella Tyson from 1910 N Halsted St Unit 3, Chicago IL60614 USA,, i have been searching for a genuine loan company for the past few months and all i got was bunch of scams who made me to trust them and at the end of the day took my money without giving anything in return, all hope was lost i got confused and frustrated, i find it very difficult to feed my family and vowed never to have anything to do with loan companies on net and went to seek of assistance from a very good friend which i explained all my experience regarding online companies with and said he can help me that he knows of a Godsent and well known company called FUNDING CIRCLE PLC, he stated he just got a loan from them although i was still very unsure about this company due to my past experience but i decided to give it a try and did as i was directed by my friend and applied, i never believed but i tried and to my greatest surprise i received my loan in my bank account within 24 hours, i could not believe that i would stand on my feet financially again. I’m glad I took the risk and applied for the loan and today i'm thanking God that such loan companies still exist and promise to share the good news to people who are in need of financial assistance because the rate of scams on net is getting very serious and i don't want people to fall victim when we still have genuine and Godsent lenders.. You can contact this Godsent company using the information as stated and be a partaker of this great testimony.. Email: fundingloanplc@yahoo.com OR Call/Text +14067326622 thanks



    ReplyDelete
  2. WHENEVER YOU OR YOUR LOVED ONES NEED A LOAN UPSTART LOAN IS THE BEST, TESTED AND TRUSTED. BEWARE OF RIPPERS ONLINE.( Email: upstartloan@yahoo.com or text/call +1(574) 301-1639 ).

    Good day, Out of my busy schedule just feel like to quickly share this because i know am going to save thousand of lives with this. A lot of persons will agree with me that fake loan lenders is no longer a news to us it has been trending for some months now and i was also victimized when i tried seeking for a loan for the invention of a new patent and invest on stock. After so many failed attempt to get a loan there was one company who proved themself to be different among the rest, They are trust worthy, straight forward, honest and reliable. I won't say much because as the saying goes "experience is the best teacher", I will candid advice anyone who need a loan of any amount to kindly contact this one and only true lenders UPSTART LOAN on their email address: ( upstartloan@yahoo.com ) Or you can as well text/call them on ( +1(574) 301-1639 ) . I remain my humble self Wesley Kurt Dwayne, I reside at Park Ave Richmond VA 23220. Say no more to be victim of scam enough is enough for the wise, Don't trust until you verified contact UPSTART LOAN now and share your own awesome experience with them.

    ReplyDelete